Monday, January 14, 2013

shule za sekondari za serikali tanzania







Wanafunzi wa shule za msingi katika nchi mbalimbali katika nchi za Afrika Mashariki wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya kutokujua kusoma baada ya kumaliza darasa la saba. Pia hata wale wanaofaulu wengine hukosa nafasi lakini mambo ni tofauti nchini Tanzania. Fuatilia makala haya upate ndani wa suala hilo.

No comments:

Post a Comment