Wanafunzia wa shule ya msingi, Nyasa 1 iliyopo wilayani Nzega
wakisoma vitabu vya kiada walivyokabidhiwa na kampuni ya tigo kwa
kushirikiana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika hafla
iliyofanyika shuleni hapo hivi karibuni. Kulia ni Ofisa Ugawaji
Rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Anne Mlimuka.
http://michuzijr2.wordpress.com/
No comments:
Post a Comment