Monday, January 14, 2013

shule za sekondari za serikali tanzania







Wanafunzi wa shule za msingi katika nchi mbalimbali katika nchi za Afrika Mashariki wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya kutokujua kusoma baada ya kumaliza darasa la saba. Pia hata wale wanaofaulu wengine hukosa nafasi lakini mambo ni tofauti nchini Tanzania. Fuatilia makala haya upate ndani wa suala hilo.

shule za sekondari tanzania- serikali kata- Picha 17 aibu tupu










WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MGULASI MANISPAA YA MOROGORO WAKIWA WAMEKALIA NDOO ZA YENYE UJAZO WA LITA 10 ZIKIWA ZIMEGEUZWA MADAWATI ILI KUWEZA KUTUMIA KWA KUKALIA WAKATI WA MASOMO YAO YA KILA SIMU, PICHA HII NI KUTOKA MAKTABA YA WWW.JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM MWAKA 2009 WAKATI BENKI YA KCB TANZANIA TAWI LA MOROGORO WALIOENDA KUTOA MSAADA WA MADAWATI KATIKA SHULE HIYO YA SEKONDARI.

shule za sekondari tanzania- Mitaa yetu







Na Joachim Mushi
Rukwa
UJENZI wa Shule za Sekondari kwa kila Kata maarufu kama ‘sekondari za kata’ katika mikoa anuai umeongeza vituko kwenye sekta ya elimu kwa baadhi ya maeneo kwani kutokana na upungufu mkubwa wa walimu hasa wa masomo ya sayansi na lugha baadhi ya shule zimefuta masomo hayo kinyume na taratibu za mitaala.
Miongoni mwa mikoa iliyokubwa na kadhia hiyo ni Rukwa, Wilaya ya Nkansi ambako baadhi ya shule hizo zimekata tamaa baada ya kukosa walimu wa sayansi na kulazimika kufuta masomo ya sayansi na kubaki na yale ya sanaa, licha ya kwamba nayo si yote yenye walimu kwenye shule hizo.

shule za msingi arusha- Mitaa Yetu







shule za msingi arusha. Wanafunzi hao wakiendelea kufundishwa na hapa wamepigwa kwa nyuma ili kuonyesha uhalisia wa mahala penyewe na uwingi wao ambao bado wamekatwa kulingana na kamera kwa kweli ni wengi mno.Picha na hisani ya www.sufianimafoto.blogspot.com

Tanzania hospital- Miaka hamsini ya uhuru- Mama !!!

Wakina mama wajawazito wakiwa wamelala sakafuni na wengine kuchangia kitanda kimoja kutokana na upungu wa vitanda.

Kesho Dec 9,2011,Tanzania inasherekea miaka 50 ya "uhuru" iliyojipatia kutoka kwa Mwingireza Dec 9,1961.

Taifa linasherekea miaka 50 huku tofauti ya masikini na matajiri ikiongezeka.Pesa ya Tanzania ikizidi kupoteza mvuto(thamani).

Tanzania nchi iliyojizoelea sifa lukuki baada ya uhuru leo hii wananchi wanamaswali mengi kuliko majibu.Changamoto zinazidi kuibali tanzania siku hadi.

Maadili ya uongozi,uzalendo kila kukicha vinazidi kuota mbawa na kutishia so called Amani uwepo wake.

Shule za kata- Picha za aibu tuu- Mitaa Yetu Je ni haki?












Shule za kata Tanzania, Je tutafika, Shule za JK hizo! ni aibu tupu. mabilion ya fedha yaaibiwa kila siku laking tuna shindwa hata kuchonga desk wakati mbao tunazo, pesa tunazo, wataalam tunao, bahati mbaya tuu, tuna mafisadi pia



shule za kiislamu- Picha za Maandamano - Mitaa Yeu







shule za mising kiisilamu- dar es salaam maandamano- hayo!!!

shule za msingi tanzania- Delta star Training





Wanafunzia wa shule ya msingi, Nyasa 1 iliyopo wilayani Nzega wakisoma vitabu vya kiada walivyokabidhiwa na kampuni ya tigo kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika hafla iliyofanyika shuleni hapo hivi karibuni. Kulia ni Ofisa Ugawaji Rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Anne Mlimuka.

http://michuzijr2.wordpress.com/

Tanzania schools : Mgomo wa waalimu ulikuwa hivi- Truth





Darasa mmoja mwalimu mmoja wanafunzi 70


The announcement came on 4 August, a day after the Labour Division of the Tanzania High Court declared the strike staged on 30 July illegal. Around 3,700 primary school teachers and 4,300 secondary school teachers in public schools went on strike then after the government and the teachers’ union failed to agree on the teachers’ pay rise.

Union prepares to appeal
“Our lawyers will assess the directives issued by High Court Judge Sophia Wambura,” said TTU President Gratian Mukoba. “They will also advise us as we prepare to appeal. In its ruling, the High Court, among other things, ordered the TTU leadership to ask all its members to resume their duties effective on Friday. We have already done that.”
He also indicated that “the ruling has disappointed teachers, considering that the employer – the Government – does not seem to care about their genuine demands. Taking this matter to court was not the best option.”


Arrested teachers must be released
Mukoba appealed to the police to release without conditions all of the teachers who were arrested in connection with the ongoing strike. He denied allegations that some teachers were coercing colleagues who had been unwilling to participate in the strike. “It is not true that there are teachers inciting colleagues and pupils to strike and revolt,” said Mukoba. 
“Some teachers also told us that in the Coast, Morogoro and Ruvuma regions, some teachers, administrators and union leaders have been receiving threats from authorities that they will be arrested and prosecuted.”

Salary demands
The teachers had demanded a doubling of their salary with an additional 55 per cent hardship allowance for science and mathematics teachers and 50 per cent for teachers of other subjects. They also demanded another 30 per cent allowance for teachers working in hostile circumstances. Moreover, the teachers also want to be paid their salary and allowance arrears accumulated for many years.


Judge’s ruling
However, the union’s case did not hold favour with the High Court. “I hold that the strike, which has been going on for three days, is unlawful,” Judge Sophia Wambura ruled. “I order that it should be terminated immediately and all teachers who are on strike to resume their duties forthwith."

She noted that, according to the Employment Labour Relations Act, the respondents were required to provide 48-hour notice to the employer prior to the commencement of the strike. “But, the notice was given on a Friday evening, falling on the weekend, and the employer did not get enough time to safeguard its properties as required by law. The notice does not state when the strike will end and the strike, which is indefinite, is by itself unlawful.”
The judge advised that, since all parties have expressed a need to return to the negotiation table, they should make deliberate efforts to reach an amicable settlement.

Ready to negotiate
Mukoba underlined that TTU leaders were ready to meet with the government provided the latter would cooperate and faithfully consider teachers’ demands.
“We don’t understand why the government refused to meet with us to discuss the matter on how we could solve the crisis,” he said. “They should understand that threats will not help solve the problems we have.”


EI: Educators’ collective bargaining must be respected
EI General Secretary Fred van Leeuwen said: “We support our Tanzanian colleagues’ demands for negotiations concerning their status. The Government must understand that respecting educators’ trade union rights and ensuring they get decent work conditions will improve quality public education, therefore helping this country achieve Education For All by 2015.”


The Resolution from the African Region adopted at the 6th EI World Congress, held in Cape Town, South Africa, in July 2011, also observes that, “in Africa, the trade union organisations in the education sector are essential for democratic development and social progress”.
It considers that the strength of the trade unions in the education sector is measured by their members in terms of their democratic nature and their strategies for independence and unity in relation to employers, governments, political parties and all external forces.
This resolution further notes “the persistent violation by the majority of African governments of national and international legal instruments for the defence and promotion of trade union rights and particularly the right to collective bargaining and the right of trade union organisations to be involved in defining national education policies”.

Tanzania schools- Makuyuni primary school Monduli District






Young girls at Makuyuni primary school in the Monduli district of Tanzania. Photograph: Graeme Robertson

A hungry girl presses against her classroom's smashed window to look outside. Surely maths is over and it is time for lunch, she seems to say. As if her thoughts had been read, an older pupil darts into the courtyard to sound the bell, a steel cylinder that hangs from a tree. Hundreds of pupils sprint out of classrooms to stand in line for their makande. The mix of beans and maize will be the only meal of the day for most of the children here at Makuyuni village primary school in northern Tanzania.

It is for Zainab Athumani. The 16-year-old started primary school five years late at the age of 11, because her mother, an occasional cleaner, could not afford the 81p-a-year lunch fee or the uniform.
Since Zainab started classes, she has taught her mother to write her name and repeated to her what teachers have told the class about how to protect against HIV. But school is tough. "It can be difficult to concentrate when you are hungry," she says.

 by  http://www.guardian.co.uk/

Tanzania school- what happen to BAE money, where is it. -Mitaa Yetu







A committee of MPs has strongly criticised BAE Systems for dragging its feet over a £29.5m fine it was ordered to pay the people of Tanzania in February 2010.
The committee urged the company to pay the amount in full within weeks, and raised the possibility of taking the matter back to court if the payment wasn't made.
Last year, BAE was fined for concealing payments of $12.4m to a marketing adviser in Tanzania in connection with a radar deal in 2002. The company agreed with the Serious Fraud Office (SFO) to make the ex-gratia payment to the Tanzanian people.
The UK's Department for International Development (DfID) and the Tanzanian government drew up plans on how to spend the money, which was to be invested in education. Under the plans, the money would be spent on 4.4m school textbooks, 192,000 desks, 1,196 teachers' houses and 2,900 pit latrines. The purpose and delivery of these items could easily be audited.--by http://www.guardian.co.uk/

Final the money was paid and up to this moment, nothing can be counted on how the money was used, no text books, no desks, no teachers houses, no pit ltrines, where the money went it is misteriously unknow.  it is now over a year and half, and still waiting for our children money to come



tanzania education system- shule za Tanzania- Mitaa Yetu





tanzania education system





There are numerous barriers to inclusive education in Tanzania, at the national, community and school levels. While the lack of basic resources is a problem, attitudes are also barriers to participation and learning.

Researchers from the University of Dar es Salaam and the Tanzanian Education Network, with help from University of Bristol, in the UK, are developing an index for educational inclusion in the country. Through a participatory action research (PAR) project, they are investigating how schools can be supported in developing more inclusive school cultures and practices.

Eight primary schools in two districts in Dar es Salaam are part of this research. They are working on ways to include all learners in the community and improve the quality of education.

Often, the term ‘inclusion’ is limited to the inclusion of disabled pupils, as is the case with the participating schools. The project, however, sees inclusion as including all peoples regardless of race, ethnicity, disability, gender, language, socio-economic status and any aspect of an individual’s identity that might be seen as ‘different’.

The first four steps of the PAR have been completed:

  • identifying barriers to participation and learning 

  • the participating schools grouping these barriers into five categories: infrastructure, classroom learning environment, health, water and sanitation, and negative community or cultural practices 

  • prioritising which barriers have to be tackled first: infrastructure was highest on the list of priorities, followed by books supply, identifying children with special needs and those living with HIV and AIDS 

  • developing school plans to develop more inclusive cultures.
The forthcoming steps of the PAR include: an evaluation of the effectiveness of school development plans, and drafting a local index of inclusive schooling to be used in the following phase of the project, which will be disseminated to other schools in Tanzania later.
Filiz Polat
Faculty of Education,
Room 421, Runme Shaw Building,
University of Hong Kong Pokfulam,
Hong Kong SAR, China
filiz.polat@hku.hk
http://web.edu.hku.hk

Shule za Tanzania picha number 15- Blinds students making different


A blind student reads Braille in the Uhuru Boarding School in Tanzania, which tries to integrate deaf and blind students into classes with children who have no disabilities. Dieter Telemans, Panos Pictures, 2008

Educational inclusion relates to all children accessing and meaningfully participating in quality education, in ways that are responsive to their individual needs. The terms ‘inclusion’ and inclusive education’ are often used in relation to children with disabilities and/or special needs and emerged partly out of debates to reduce their segregation from mainstream schooling. Shukurani - sana kutoka kwa http://www.eldis.org/go/topics/insights/2010/making-education-inclusive-for-all


Shule za Tanzania picha number 15- Blinds students making different

John Mnyika blogspot- Uzinduzi wa hopitals Sinza- Mitaa Yetu










11 Desemba 2012 Nimeshiriki uzinduzi makabidhiano ya jengo la huduma za mama na mtoto katika hospitali ya Sinza (ipo Sinza-Palestina) kwa msaada wa Korea ikiwa ni sehemu ya kuboresha huduma za afya. 

Ipo haja ya kuongeza watumishi wa afya ikiwemo madaktari kwa kupanua wigo wa elimu kwa ujenzi wa Chuo Kikuu MUHAS, eneo la Kwembe Mloganzila. 

Hata hivyo, nilitarajia Rais Kikwete angeeleza serikali ilivyojipanga kuboresha maslahi ya  madaktari kwa kurejea taarifa ya kamati ya huduma za jamii iliyoundwa baada ya mgomo wa madaktari ili kuepusha kasi ya  madaktari kwenda nchi za nje, badala yake Rais ametoa kauli nyingine tata. 

Aida, Rais amepotoshwa kuwa wanasiasa wa upinzani wamepinga ujenzi wa MUHAS na kuahidi fidia ya usumbufu. Ukweli ni kuwa aliyewaahidi wananchi fidia ya ardhi ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Bwana John Chiligati mnamo mwaka 2009 na 2010 kwa ajili ya CCM kupata kura kwenye uchaguzi za serikali ya mitaa na Uchaguzi Mkuu. Wananchi wanachodai ni waliyoahidiwa na serikali.
 
shukurani zako John Mnyika,  http://mnyika.blogspot.com/

Mikopo ya elumu ya juu -Picha Jamiiforums-Polisi vs wanafunzi


Poleni wanafunzi na jumuiya ya Chuo Kikuu cha DSM (UDSM), ni aibu kwamba mpaka mgomo na mabomu ndio serikali ichukue hatua kwa madai ya mikopo kucheleweshwa na kupewa kwa masharti yenye kuumiza watoto wa watanzania wa kawaida.Kila binadamu anayo haki ya kusoma!Ni moja ya haki ya msingi ktk haki za kibinadamu. Nasikitika siko pamoja nanyi jimboni Ubungo ktk wakati huu mgumu, nitachukua hatua za kibunge huku Dodoma-Bungeni.Kwa Pamoja Tunaweza!!












Shukrani Chanzo za Picha: Mtandao wa JamiiForums

Nimehuzunika sana baada ya kuona picha hizi na habari katika vyombo mbalimbali vya habari. Nipo pamoja nanyi! 

Maoni Yetu 
Rais kikwete, umeleta askari wako watupige chuoni, miliwapiga wazee wa A mashariki mkawadhalilisha, mmewapiga wamachinga wasio na kipato wakitafuta walau watakulaje, kama hiyo haitoshi mmetupiga wasomi tusiseme madai yetu ya msingi. Laana hii itawafata nyuma siku zote na mwisho wenu hauko utafika. Mmeamua kuila nchi, kuwakandamiza masikini na kuwarudisha wakoloni kwa kivuli cha uwekezaji, leo rasilimali za nchi yetu na kodi za wazazi wetu mnagawana na familia zenu na kupanga nani apate kiasi gani na sisi masikini eti hamna hata hela za KUTUKOPESHA ili tusome. Kama kweli uko serious na taifa letu, tafadhali tupe mikopo watoto wa wakulima tusome. TENA JUA KUWA, TANZANIA SIO NCHI YA AMANI, UNADHANI KAMA WATU HAWAPATI HAKI ZAO, WANA NJAA, WANAKOSA ELIMU NIYO AMANI? Kama CCM ndivyo ina define amani basi imepitwa na wakati. Msijifariji kusema tanzania ina amani, yatawatokea puani, si mnafanya makusudi, kwa kuwa nyie na watoto wenu mna maisha ya kifahari ya pesa za kodi zetu! Poa yote 9.

Mikopo ya chuo kikuu -Mitaa Yetu |









Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma - UDOM wamegoma kuingia madarasani wakipinga kile walichodai kuwa ni hatua ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini kuchelewesha mikopo wanayostahili kupata.

Polisi mkoani Dodoma wamelazimika kutumia nguvu za ziada kuwatawanya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma,UDOM waliokuwa wanaandamana kwenda ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma kuwasilisha madai yao.

Dokta Nsekela amewataka wanafunzi hao kuwasilisha hati za madai yao katika ofisi yake na kuahidi kulitatua tatizo hilo ndani ya muda wa siku saba.

lakini baada ya siku saba, tatizo halikututuliwa, na baadaye wanafuzi 900 walifukuzwa na wengine kushatikwa -

Shule Tanzania - picha wanafunzi katika mashindano ya kucheza







Wanafunzi wa shule mbalimbali wakishindana kucheza baada ya kumalizika kwa onyesho hilo.

Washindi wa kucheza katika shamra shamra za Tigo Mama Afrika, wanafunzi wa Makongo wakipewa zawadi.




Shule za Tanzania - picha number 14 aibu tupu-









Shule za Tanzania picha number 14 , aibu tupu, haki za wanyonge zipo wapi watanzania

shule za tanzania picha na. 13 ni aibu tupu-







shule za tanzania picha na. 13 ni aibu tupu- kweli tunaweza kusema hii ni shule, jamani lazima tusimame kwa pamoja na kufanya mabadiliko.

shule za tanzania- picha na 12 ni aibu tupu- Mitaa Yetu



shule za tanzania- picha za aibu - kuwa mzalendo, fanya mema, uende zako, Mungu ndie anaye toa na anaye chukua, mafisadi, lazima waondoke, tuweze kujenga shule za tanzania za watoto wetu katika kila kata

tume ya haki za binadamu utetezi wa wanyonge uko wapi- acheni porojo






Hii si haki, utetezi wa wanyonge uko wapi, miaka 50 ya uhuru, na bado porojo nyingi tuu


TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imezitaka taasisi zinazosimamia sheria nchini kuhakikisha zinazingatia haki za binadamu na misingi ya utawala bora ili haki iweze kupatikana  kwa wakati na kwa watu wote.
 
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana, na Kamishina wa Tume hiyo, Bernadeta Gambishi, wakati alipokuwa  akizindua mradi vitabu (Vitini),vya  maboresho ya sheria.
 
Alisema kwa kuzingatia hayo kunaweza kuharakisha  upatikanaji wa haki katika makundi yote ya kijamii nchini, kusimamia maadili na uweled wa maofisa wa sheria, pia ukuzaji wa uhuru wa mahakama.
 
Gambishi alisema kimsingi mradi huo una malengo makuu sita ambayo yatatekelezwa kwa kupitia mkakati wa Kati.
 
 
Akiyataja baadhi maeneo hayo, kuwa ni pamoja na Mfumo bora wa sheria kitaifa: lengo hilo linasimamiwa na Tume ya kurekebisha sheria nchini kwa kushirikiana na taasisi nyingine washirika.
 
Haki za  Binadamu na usimamizi wa haki hili linasimamiwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na upatikanaji wa haki kwa walio na uwezo mdogohilo linasimamiwa na Taasisi zisizo za Kiserikali (NGO’S), mfano mmoja ni Chama cha Wana Sheria Nchini (TLS).
 
Naye Kaimu Mkurugenzi wa Sheria, Reginald Makoko, alisema bado Watanzania wengi wanakabiliwa na uwelewa mdogo wa sheria hali inayowafanya baadhi yao kupoteza haki zao.
 
Hata hivyo, tatizo hilo kwa sasa limepungua kutokana kuwepo kwa vyama vyama vya kisheria ambavyo vinatoa msada wa kisheria bure , malalamiko mengi kuwasilishwa huko.

university of dodoma- katika shamra shamra za... Mitaa Yetu






Wahitimu wakiwa katika shamrashamra za huku na kule katika Kuchuku taswira za ukumbusho katika mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu Cha Dodoma yanayofanyika katika viwanja vya chimwaga vilivyopo Chuoni hapo- university of dodoma, Tanzania

chuo kikuu cha dodoma-university of dodoma-Delta Star






Baadhi ya Wahitimu wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa katika harakati za kutafuta picha za ukumbusho na rafiki zao wakati wa sherehe za mahafali ya tatu ya Chuo Kikuu Cha Dodoma yanayotajiwa kuanza saa saba Mchana wa leo katika viwanja vya Chimwaga Vilivyopo Chuoni Hapo

Sunday, January 6, 2013

Tanzania computer schools- Deltar Star Training- MITAA YETU










Tanzania Computer schools, Deltar Star Training, Royal College



tanzania computer market- is growing and the demand is high






Tanzania computer market is growing rapidly, and the demand for users is high, schools, are getting hight tech, business are now using computer or some type technology to facilitate daily activites to cut cost and increase efficient. Now day without some knowledge in computer application, makes it hard to get a job even to perform simple communication. all cell phone are in the mode of computerization system. to do business and sending and receiving massage and storing date for evaluation and monitoring. by 2015, almost all secondary schools will be equip with computers for students , all business will be using computres . Learning how to use computer now will help and boost ones careers in job market

Tanzania computer companies, stores-sales, and suppliesCC Ltd




Computer Center Ltd, Dar es salaam,





Contact:

Dar es Salaam Office:
7/8 Maktaba Street,
P.O Box 1961, Dar-Es-Salaam, Tanzania
Telephone: +255 22 2117730
Fax: +255 22 2117743
Service Desk: +255 22 211 8338/9
Email: sales@cctz.co.tz

Tanzania computer Training -PowerComputers Ltd | Mitaa yetu


PowerComputers Ltd, Dar es salaam,



Tanzania computer training by PowerComputers Ltd
We began as a small scale supplier of Computer hardware and within a mere 5 ... set our goals to become the number one supplier for the whole of Tanzania.

Training Programs

  • Short certificate courses such as Basics, Microsoft Office Suite, Networking
  • Desktop Publishing courses such as Graphics and Web Design
  • IT based courses such as A+, MCSE, LINUX, RED HAT and CISCO
  • Professional Management Courses such as Leadership skills, customer service


Contact:

MWANZA BRANCH
Kenyatta Rd, Opp. NMB
Tel: (255) 28 2500631
Fax: 2137379
P.O.Box 2263
Mwanza
 
ARUSHA BRANCH
Bondeni / Makongoro Street
Opp.CCM Mkoa / Stadium
Above Makuyuni Traders, 2nd Floor

Tel: +255 27 2546091 / 92
Fax: +255 27 2546090
Cell: +255 797 124 000, +255 784 200 980
P.O.Box 10217
Arusha
Tanzania

 

Saturday, January 5, 2013

Delta Star Training _ nafasi za masomo | Mitaa Yetu






Delta star Training Institute. offer short training course in Computer classes, Clearing and fourward,Graphic Design for journalism. nafasi za masomo